Tuesday, May 23, 2017

Je, wajua?

 Aina za ng’ombe waliopo nchini Tanzania 

1. Ng’ombe wa asili 
     i. Zebu
     ii. Ankole
     iii. Boran
2. Ng’ombe wa Kigeni/Kisasa 
     i. Friesian
     ii. Ayrshire
     iii. Guensey
     iv. Jersey
     v. Brown Swiss
     vi. Sahiwal
3. Ng’ombe Chotara 
-Ng’ombe chotara ni wale waliopatikana kutokana na kuchanganya damu za aina mbili au zaidi za ng’ombe wa kigeni na wa asili. Ng’ombe chotara wana sifa bora mchanganyiko za ng’ombe wa kigeni na asili.
      Mpwapwa; wamezalishwa kutokana na ng’ombe aina ya Boran, zebu, sahiwal na ng’ombe kutoka Ulaya

No comments:

Post a Comment

Je wewe ni mpenzi wa beef sausage za Peramiho?Tumekusogezea karibu nawe, karibu ujipendelee ndani ya DRESA Modern Butcher.